765- Ahmad ametuhadithia: Wakiy´ ametuhadithia, kutoka kwa Sufyaan, kutoka kwa az-Zubayr bin ´Adiy, kutoka kwa Ibraahiym ambaye amesema:
“Ubakiaji wa Swafaa na Marwah unatakiwa kuwa mrefu sawa na Suurah an-Najm.”
766- Ahmad ametuhadithia: Wakiy´ ametuhadithia: al-A´mash ametuhadithia, kutoka kwa Abu Waa-il, kutoka kwa Ibn Mas´uud aliyesema wakati alipokuwa akitembea kati ya Swafaa na Marwah:
رب اغفر و ارحم، إنك أنت الأعز الأكرم
“Mola nisamehe na unirehemu! Kwani hakika Wewe ndiye mtukufu, mkarimu zaidi.”
- Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 161
- Imechapishwa: 26/03/2021
765- Ahmad ametuhadithia: Wakiy´ ametuhadithia, kutoka kwa Sufyaan, kutoka kwa az-Zubayr bin ´Adiy, kutoka kwa Ibraahiym ambaye amesema:
“Ubakiaji wa Swafaa na Marwah unatakiwa kuwa mrefu sawa na Suurah an-Najm.”
766- Ahmad ametuhadithia: Wakiy´ ametuhadithia: al-A´mash ametuhadithia, kutoka kwa Abu Waa-il, kutoka kwa Ibn Mas´uud aliyesema wakati alipokuwa akitembea kati ya Swafaa na Marwah:
رب اغفر و ارحم، إنك أنت الأعز الأكرم
“Mola nisamehe na unirehemu! Kwani hakika Wewe ndiye mtukufu, mkarimu zaidi.”
Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 161
Imechapishwa: 26/03/2021
https://firqatunnajia.com/muda-wa-kubaki-swafaa-na-marwah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)