Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuomba uombezi kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) baada kufa kwake?
Jibu: Maiti haombwi kitu, sawa ikiwa ni uombezi au kitu kingine[1]. Maswahabah hawakuwa wanaenda kwenye kaburi la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kumuomba du´aa, uombezi au msamaha. Wao ni wajuzi zaidi katika Ummah juu ya yanayojuzu na yasiyojuzu kwa kuwa wao ni wanafunzi wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Lau wangelijua kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuwa jambo hili linajuzu wangelifanya. Kile kitendo chao cha wao kuacha ni kwamba walijua kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuwa kitendo hichi hakijuzu na hakifanywi.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/kumuomba-maiti-msamaha-baada-ya-kufa/
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-1-30.mp3
- Imechapishwa: 09/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuomba uombezi kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) baada kufa kwake?
Jibu: Maiti haombwi kitu, sawa ikiwa ni uombezi au kitu kingine[1]. Maswahabah hawakuwa wanaenda kwenye kaburi la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kumuomba du´aa, uombezi au msamaha. Wao ni wajuzi zaidi katika Ummah juu ya yanayojuzu na yasiyojuzu kwa kuwa wao ni wanafunzi wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Lau wangelijua kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuwa jambo hili linajuzu wangelifanya. Kile kitendo chao cha wao kuacha ni kwamba walijua kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuwa kitendo hichi hakijuzu na hakifanywi.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/kumuomba-maiti-msamaha-baada-ya-kufa/
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-1-30.mp3
Imechapishwa: 09/08/2020
https://firqatunnajia.com/mtume-haombwi-uombezi-baada-ya-kufa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)