Swali: Allaah kumsifu mara kumi yule ambaye anamswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni jambo maalum kwa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) au inajumuisha Mitume wengine?
Jibu: Imepokelewa katika Hadiyth ya kwamba (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika Allaah amenipa kwa ambaye ananiswalia (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mara kumi.”
Udhahiri wake ni kwamba ni kitu maalum kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuhusu Mitume wengine Allaah ndiye mjuzi zaidi.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
- Imechapishwa: 22/10/2021
Swali: Allaah kumsifu mara kumi yule ambaye anamswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni jambo maalum kwa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) au inajumuisha Mitume wengine?
Jibu: Imepokelewa katika Hadiyth ya kwamba (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika Allaah amenipa kwa ambaye ananiswalia (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mara kumi.”
Udhahiri wake ni kwamba ni kitu maalum kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuhusu Mitume wengine Allaah ndiye mjuzi zaidi.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
Imechapishwa: 22/10/2021
https://firqatunnajia.com/mtume-amekhusika-na-fadhilah-za-kumswalia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)