Swali: Je, Israa´ na Mi´raaj ilikuwa katika hali ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuwa macho au hapana? Je, Mtume alimuona Mola Wake kwa macho yake?
Jibu: Israa´ na Mi´raaj ilipitika hali ya kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yuko macho, kama ilivyokuja katika dalili za Kishari´ah. Hakumuona (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa macho yake. Hii ndio jopo la wengi katika Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (266-267/03)
- Imechapishwa: 23/08/2020
Swali: Je, Israa´ na Mi´raaj ilikuwa katika hali ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuwa macho au hapana? Je, Mtume alimuona Mola Wake kwa macho yake?
Jibu: Israa´ na Mi´raaj ilipitika hali ya kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yuko macho, kama ilivyokuja katika dalili za Kishari´ah. Hakumuona (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa macho yake. Hii ndio jopo la wengi katika Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (266-267/03)
Imechapishwa: 23/08/2020
https://firqatunnajia.com/mtume-alikuwa-macho-israa-na-miraaj/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)