Swali: Je, mtu ambaye ananukia vibaya anaacha kuswali swalah ya mkusanyiko?
Jibu: Ikiwa anawaudhi wale walio pembeni yake, aache kuswali swalah ya mkusanyiko. Badala yake aswali nyumbani kwake. Kadhalika ambaye amekula kitunguu saumu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemkataza mtu kama huyu kuingia msikitini.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-3-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 17/11/2018
Swali: Je, mtu ambaye ananukia vibaya anaacha kuswali swalah ya mkusanyiko?
Jibu: Ikiwa anawaudhi wale walio pembeni yake, aache kuswali swalah ya mkusanyiko. Badala yake aswali nyumbani kwake. Kadhalika ambaye amekula kitunguu saumu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemkataza mtu kama huyu kuingia msikitini.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-3-7-1439.mp3
Imechapishwa: 17/11/2018
https://firqatunnajia.com/mtu-mwenye-kunukia-vibaya-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)