Swali: Kuna mtu mmoja mfaransa amesilimu, kisha akasafiri kwenda Yemen na kuoa. Lakini ametafuta kazi na hakupata. Kisha akasafiri kwenda Ufaransa kutafuta kazi. Je, anapata kurudi katika mji wake?
Jibu: Muislamu akihama kutoka katika mji asirudi. Kwa ajili hiyo ndio maana Muhaajiruun hawakurudi Makkah pamoja na kuwa Makkah ndio mahala bora kabisa. Lakini pamoja na hivyo hawakurudi baada ya Makkah kutekwa na waislamu. Hata Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakurudi baada ya kutekwa kwa kuwa ameuacha kwa ajili ya Allaah. Mwenye kuacha kitu kwa ajili ya Allaah hakirudilii.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (52) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-06-05.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Kuna mtu mmoja mfaransa amesilimu, kisha akasafiri kwenda Yemen na kuoa. Lakini ametafuta kazi na hakupata. Kisha akasafiri kwenda Ufaransa kutafuta kazi. Je, anapata kurudi katika mji wake?
Jibu: Muislamu akihama kutoka katika mji asirudi. Kwa ajili hiyo ndio maana Muhaajiruun hawakurudi Makkah pamoja na kuwa Makkah ndio mahala bora kabisa. Lakini pamoja na hivyo hawakurudi baada ya Makkah kutekwa na waislamu. Hata Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakurudi baada ya kutekwa kwa kuwa ameuacha kwa ajili ya Allaah. Mwenye kuacha kitu kwa ajili ya Allaah hakirudilii.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (52) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-06-05.mp3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/mtu-kurudi-katika-mji-aliouacha-kwa-ajili-ya-allaah-ili-kutafuta-kazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)