Imaam an-Nawawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
38- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kasema: Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) amesema:
“… na mja Wangu hatoacha kujikurubisha Kwangu kwa vitendo vya Nawaafil mpaka mwishowe nije kumpenda.”
Bi maana atakithirisha kuleta ´ibaadah nyingi za Nawaafil, ikiwa ni pamoja na swalah na Nawaafil, swawm, swadaqah, Hajj, ´Umrah na mfano wa hayo.
“… mpaka mwishowe nije kumpenda.”
Hii ni dalili inayoonyesha ya kwamba mapenzi ya Allaah (Jalla wa ´Alaa) yanapatikana kwa kufanya bidii ya kumuabudu kwa kutekeleza ´ibaadah za Nawaafil. Hili linakuwa baada ya kutekeleza mambo ya faradhi na kujikurubisha kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa) kwayo.
- Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 511
- Imechapishwa: 10/05/2020
Imaam an-Nawawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
38- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kasema: Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) amesema:
“… na mja Wangu hatoacha kujikurubisha Kwangu kwa vitendo vya Nawaafil mpaka mwishowe nije kumpenda.”
Bi maana atakithirisha kuleta ´ibaadah nyingi za Nawaafil, ikiwa ni pamoja na swalah na Nawaafil, swawm, swadaqah, Hajj, ´Umrah na mfano wa hayo.
“… mpaka mwishowe nije kumpenda.”
Hii ni dalili inayoonyesha ya kwamba mapenzi ya Allaah (Jalla wa ´Alaa) yanapatikana kwa kufanya bidii ya kumuabudu kwa kutekeleza ´ibaadah za Nawaafil. Hili linakuwa baada ya kutekeleza mambo ya faradhi na kujikurubisha kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa) kwayo.
Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 511
Imechapishwa: 10/05/2020
https://firqatunnajia.com/mtu-hupendwa-na-allaah-kwa-kujibidisha-na-sunnah-%e2%80%82/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)