Swali: Je, mtu mwenye matendo atapimwa na matendo yake?
Jibu: Ndio, ndio dhahiri. Atapimwa mtu mwenye matendo na matendo. Amesema (Ta´ala):
أُولَـٰئِكَ الَّذِينَ كَفَرُوا بِآيَاتِ رَبِّهِمْ وَلِقَائِهِ فَحَبِطَتْ أَعْمَالُهُمْ فَلَا نُقِيمُ لَهُمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ وَزْنًا
“Hao ni wale waliozikanusha alama za Mola wao na [pia wakakanusha] kukutana Naye basi ‘amali zao zimeporomoka; hivyo Hatutowapimia Siku ya Qiyaamah uzito wowote.” (18:105)
Kafiri hana ya kupimiwa kwa kuwa hana matendo yoyote. Kuhusu muumini atapimwa yeye na matendo yake.
Siku moja Ibn Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) alipanda mti na watu wakacheka juu ya wembamba wa muundi wake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
“Miundi yake siku ya Qiyaamah itakuwa na uzito kuzidi jibali la Uhud.”
Ni dalili inayoonyesha kuwa muumini na yeye atapimwa siku ya Qiyaamah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_11.mp3
- Imechapishwa: 20/06/2018
Swali: Je, mtu mwenye matendo atapimwa na matendo yake?
Jibu: Ndio, ndio dhahiri. Atapimwa mtu mwenye matendo na matendo. Amesema (Ta´ala):
أُولَـٰئِكَ الَّذِينَ كَفَرُوا بِآيَاتِ رَبِّهِمْ وَلِقَائِهِ فَحَبِطَتْ أَعْمَالُهُمْ فَلَا نُقِيمُ لَهُمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ وَزْنًا
“Hao ni wale waliozikanusha alama za Mola wao na [pia wakakanusha] kukutana Naye basi ‘amali zao zimeporomoka; hivyo Hatutowapimia Siku ya Qiyaamah uzito wowote.” (18:105)
Kafiri hana ya kupimiwa kwa kuwa hana matendo yoyote. Kuhusu muumini atapimwa yeye na matendo yake.
Siku moja Ibn Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) alipanda mti na watu wakacheka juu ya wembamba wa muundi wake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
“Miundi yake siku ya Qiyaamah itakuwa na uzito kuzidi jibali la Uhud.”
Ni dalili inayoonyesha kuwa muumini na yeye atapimwa siku ya Qiyaamah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_11.mp3
Imechapishwa: 20/06/2018
https://firqatunnajia.com/mtu-atapimwa-na-matendo-yake-siku-ya-qiyaamah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)