Swali: Inajuzu kwa Muislamu kunuia nia mbili kwa wakati mmoja? Kama kwa mfano kunuia Swalah iwe ya Sunnah ikiwa atakosea katika Swalah ya faradhi, au akakosea katika Hajj au Zakaah?
Jibu: Hatujui kuwa hili lina asli. Bali asli ni salama na afya. Anuie Swalah anayoswali kama anavyotaka; Sunnah ya Dhuhr, Sunnah ya Maghrib, Sunnah ya ´Ishaa, Sunnah ya Dhuhaa bila ya kuwa na mashaka (wasiwasi) aliyoashiria. Asli ni salama. Alhamdulillaah. Na wala hatujui kuwa hili lina asli yoyote ya kuweka nia mbili.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Nuur ´alaad-Darb
- Imechapishwa: 18/03/2018
Swali: Inajuzu kwa Muislamu kunuia nia mbili kwa wakati mmoja? Kama kwa mfano kunuia Swalah iwe ya Sunnah ikiwa atakosea katika Swalah ya faradhi, au akakosea katika Hajj au Zakaah?
Jibu: Hatujui kuwa hili lina asli. Bali asli ni salama na afya. Anuie Swalah anayoswali kama anavyotaka; Sunnah ya Dhuhr, Sunnah ya Maghrib, Sunnah ya ´Ishaa, Sunnah ya Dhuhaa bila ya kuwa na mashaka (wasiwasi) aliyoashiria. Asli ni salama. Alhamdulillaah. Na wala hatujui kuwa hili lina asli yoyote ya kuweka nia mbili.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Nuur ´alaad-Darb
Imechapishwa: 18/03/2018
https://firqatunnajia.com/mtu-anaweza-kuweka-nia-mbili-katika-wakati-mmoja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)