Swali: Ni yepi maoni yako kuhusu yale yanayosemwa na baadhi ya wanachuoni kwamba yule mwenye kufanya I´tikaaf anatakiwa kutoka kwenda katika ´Iyd akiwa na mavazi ya I´tikaaf yake?
Jibu: Naona kuwa jambo hili linaenda kinyume na Sunnah. Sunnah siku ya ´Iyd ni mtu ajipambe. Ni mamoja akiwa ni mwenye kufanya I´tikaaf au si mwenye kufanya I´tikaaf.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (16/236)
- Imechapishwa: 14/06/2018
Swali: Ni yepi maoni yako kuhusu yale yanayosemwa na baadhi ya wanachuoni kwamba yule mwenye kufanya I´tikaaf anatakiwa kutoka kwenda katika ´Iyd akiwa na mavazi ya I´tikaaf yake?
Jibu: Naona kuwa jambo hili linaenda kinyume na Sunnah. Sunnah siku ya ´Iyd ni mtu ajipambe. Ni mamoja akiwa ni mwenye kufanya I´tikaaf au si mwenye kufanya I´tikaaf.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (16/236)
Imechapishwa: 14/06/2018
https://firqatunnajia.com/mtu-anatakiwa-ajipambe-siku-ya-iyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)