Swali: Baadhi ya misikiti kama mfano wa msikiti mtukufu wa Makkah wanaswali kwa Tasliym kumi ambapo kila baada ya Tasliym tano anaziswali imamu. Nikiswali nyuma ya imamu wa kwanza kisha nikaondoka naandikiwa kuwa nimeswali usiku mzima au ni lazima nikamilishe?
Jibu: Ni lazima ukamilishe. Hilo ni kwa sababu imamu wa pili ni naibu wa imamu wa kwanza. Dalili juu ya hili ni kwamba Witr inakuwa pamoja na yule imamu wa pili. Ukweli wa mambo ni kwamba yule wa kwanza hakukamilisha swalah yake. Bali ameswali baadhi ya swalah na akaikamilisha yule mwengine.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (70) http://binothaimeen.net/content/1601
- Imechapishwa: 19/03/2020
Swali: Baadhi ya misikiti kama mfano wa msikiti mtukufu wa Makkah wanaswali kwa Tasliym kumi ambapo kila baada ya Tasliym tano anaziswali imamu. Nikiswali nyuma ya imamu wa kwanza kisha nikaondoka naandikiwa kuwa nimeswali usiku mzima au ni lazima nikamilishe?
Jibu: Ni lazima ukamilishe. Hilo ni kwa sababu imamu wa pili ni naibu wa imamu wa kwanza. Dalili juu ya hili ni kwamba Witr inakuwa pamoja na yule imamu wa pili. Ukweli wa mambo ni kwamba yule wa kwanza hakukamilisha swalah yake. Bali ameswali baadhi ya swalah na akaikamilisha yule mwengine.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (70) http://binothaimeen.net/content/1601
Imechapishwa: 19/03/2020
https://firqatunnajia.com/mtu-akiswali-na-imamu-wa-kwanza-kisha-akaondoka-anaandikiwa-kuswali-usiku-mzima/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)