Swali: Bwana huyu amepewa mtihani watoto wake hawaendi kuswali msikitini lakini wanaswali nyumbani kwao. Wamemchokesha kuwaongoza na kuwanasihi mpaka amefikia kuwapiga. Ni lipi la wajibu juu yake?
Jibu: Hili ndio la wajibu kuwachapa. Akishindwa basi aende kuwashtaki mamlaka husika ikiwa ipo nchini mwake au baraza lenye nguvu zaidi.
Swali: Mmoja wao amepewa mtihani msichana wake haswali kabisa.
Jibu: Vivyo hivyo amchape mpaka asimame sawasawa. Akimtia adabu atanyooka – Allaah akitaka.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21685/حكم-تاديب-الابناء-لتقصيرهم-في-الصلاة
- Imechapishwa: 16/09/2022
Swali: Bwana huyu amepewa mtihani watoto wake hawaendi kuswali msikitini lakini wanaswali nyumbani kwao. Wamemchokesha kuwaongoza na kuwanasihi mpaka amefikia kuwapiga. Ni lipi la wajibu juu yake?
Jibu: Hili ndio la wajibu kuwachapa. Akishindwa basi aende kuwashtaki mamlaka husika ikiwa ipo nchini mwake au baraza lenye nguvu zaidi.
Swali: Mmoja wao amepewa mtihani msichana wake haswali kabisa.
Jibu: Vivyo hivyo amchape mpaka asimame sawasawa. Akimtia adabu atanyooka – Allaah akitaka.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21685/حكم-تاديب-الابناء-لتقصيرهم-في-الصلاة
Imechapishwa: 16/09/2022
https://firqatunnajia.com/mtoto-asiyeswali-anachapwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)