Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“[Sikilizeni na tiini] hata kama mtatawaliwa na mtumwa.”
Bi maana mtumwa akawashinda juu ya utawala na akaita watu wamsikize. Akiita watu wamsikize na kumtii, basi katika hali hii itakuwa ni wajibu kumsikiliza na kumtii.
- Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 387
- Imechapishwa: 13/05/2020
Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“[Sikilizeni na tiini] hata kama mtatawaliwa na mtumwa.”
Bi maana mtumwa akawashinda juu ya utawala na akaita watu wamsikize. Akiita watu wamsikize na kumtii, basi katika hali hii itakuwa ni wajibu kumsikiliza na kumtii.
Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 387
Imechapishwa: 13/05/2020
https://firqatunnajia.com/mtawala-akishinda-kwa-mabavu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)