Swali: Ni lazima kwa mwanamke kujifunika kwa mtandio kichwani wakati wa kusoma Qur-aan na pia wakati wa kutaka kusuhudu sijda ya kisomo?
Jibu: Sijda ya kisomo ni swalah. Anapaswa awe mwenye kujisitiri kama anavokuwa ndani ya swalah. Ama wakati wa kusoma Qur-aan hana ulazima wa kufanya hivo. Isipokuwa ikiwa kama mbele yake wako ambao si Mahram zake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (103) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-6-3-1441_1.mp3
- Imechapishwa: 20/01/2021
Swali: Ni lazima kwa mwanamke kujifunika kwa mtandio kichwani wakati wa kusoma Qur-aan na pia wakati wa kutaka kusuhudu sijda ya kisomo?
Jibu: Sijda ya kisomo ni swalah. Anapaswa awe mwenye kujisitiri kama anavokuwa ndani ya swalah. Ama wakati wa kusoma Qur-aan hana ulazima wa kufanya hivo. Isipokuwa ikiwa kama mbele yake wako ambao si Mahram zake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (103) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-6-3-1441_1.mp3
Imechapishwa: 20/01/2021
https://firqatunnajia.com/mtandio-wakati-wa-kusoma-qur-aan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)