Swali: Kuna mwanamume alimtaliki mke wake talaka rejea na hakumrudi mpaka eda yake ikawa imeisha. Baada ya hapo akamuoa tena kwa ndoa mpya. Je, ile talaka ya kwanza inahesabika kwake?
Jibu: Akimtaliki na akatoka katika eda, basi anazingatiwa ni mposaji katika waposaji kama wengine. Katika hali hii anatakiwa kumuoa kwa kufunga naye ndoa mpya, awepo walii na mahari. Akimuoa basi kumebaki kwake talaka mbili. Ile talaka ya kwanza inahesabika kwake.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (02) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/429/429.mp3
- Imechapishwa: 07/03/2018
Swali: Kuna mwanamume alimtaliki mke wake talaka rejea na hakumrudi mpaka eda yake ikawa imeisha. Baada ya hapo akamuoa tena kwa ndoa mpya. Je, ile talaka ya kwanza inahesabika kwake?
Jibu: Akimtaliki na akatoka katika eda, basi anazingatiwa ni mposaji katika waposaji kama wengine. Katika hali hii anatakiwa kumuoa kwa kufunga naye ndoa mpya, awepo walii na mahari. Akimuoa basi kumebaki kwake talaka mbili. Ile talaka ya kwanza inahesabika kwake.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (02) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/429/429.mp3
Imechapishwa: 07/03/2018
https://firqatunnajia.com/mtalikiwa-baada-ya-ndoa-hurudi-kwa-hesabu-ya-talaka-alizotalikiwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)