Swali: Mswaliji anaweza kusoma al-Faatihah kwa kunyamaza bila ya kutikisa ulimi wala midomo yake?
Jibu: Hapana, si sawa. Kisomo hakiwi isipokuwa ima kwa kutikisa ulimi au angalau ajisikie yeye mwenyewe. Ni lazima angalau kwa uchache ajisikie yeye mwenyewe.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%2025%20-%201%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Mswaliji anaweza kusoma al-Faatihah kwa kunyamaza bila ya kutikisa ulimi wala midomo yake?
Jibu: Hapana, si sawa. Kisomo hakiwi isipokuwa ima kwa kutikisa ulimi au angalau ajisikie yeye mwenyewe. Ni lazima angalau kwa uchache ajisikie yeye mwenyewe.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%2025%20-%201%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/mswaliji-anaweza-kusoma-al-faatihah-bila-ya-kutikisa-ulimi-na-midomo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)