Swali: Inajuzu kumpa mtu aliekusomea Ruqyah kiwango fulani cha mali cha kisomo hichi?
Jibu: Hili ni jambo linalojuzu. Kwa dalili ya Hadiyth ya Ruqyah ya Maswahabah, pindi walipomsomea Labiyd na wakachukua mnyama. Akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ambacho kina haki zaidi kukichukulia ujira, ni Kitabu cha Allaah.”
Hili ni jambo linalojuzu, lakini kuacha (kuchukua ujira huo) ni bora. Lakini akihitajia (ujira huo), hakuna neno. Pamoja na kuwa, haitakikani kwake (msomaji) kufanya hii ndo ikawa pupa (hamu) yake kubwa na chanzo cha chumo lake. Lakini lau tuchukulie kamsomea mtu, akampatia kitu (katika mali) au (msomaji) akamuwekea sharti ya kumpa, haina neno. Kwa sharti asichukulie hii ndo ikawa pato na chumo lake (la kila siku).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=nA9SNO7PK30
- Imechapishwa: 19/03/2018
Swali: Inajuzu kumpa mtu aliekusomea Ruqyah kiwango fulani cha mali cha kisomo hichi?
Jibu: Hili ni jambo linalojuzu. Kwa dalili ya Hadiyth ya Ruqyah ya Maswahabah, pindi walipomsomea Labiyd na wakachukua mnyama. Akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ambacho kina haki zaidi kukichukulia ujira, ni Kitabu cha Allaah.”
Hili ni jambo linalojuzu, lakini kuacha (kuchukua ujira huo) ni bora. Lakini akihitajia (ujira huo), hakuna neno. Pamoja na kuwa, haitakikani kwake (msomaji) kufanya hii ndo ikawa pupa (hamu) yake kubwa na chanzo cha chumo lake. Lakini lau tuchukulie kamsomea mtu, akampatia kitu (katika mali) au (msomaji) akamuwekea sharti ya kumpa, haina neno. Kwa sharti asichukulie hii ndo ikawa pato na chumo lake (la kila siku).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=nA9SNO7PK30
Imechapishwa: 19/03/2018
https://firqatunnajia.com/msomewaji-ruqyah-kumpa-kitu-msomaji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)