Msimamo wako katika nchi ambayo wamezowea kupeana mikono na wanawake

Swali: Katika baadhi ya nchi wanapeana mikono na wanawake?

Jibu: Hili halijuzu. Hata kama mtu atakuta hali hiyo na ikawa katika mazowea yao ni kupeana mikono na wanawake. Ni wajibu kuachana na desturi hiyo.

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (47) http://binothaimeen.net/content/1087
  • Imechapishwa: 06/04/2019