Swali: Katika baadhi ya nchi wanapeana mikono na wanawake?
Jibu: Hili halijuzu. Hata kama mtu atakuta hali hiyo na ikawa katika mazowea yao ni kupeana mikono na wanawake. Ni wajibu kuachana na desturi hiyo.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (47) http://binothaimeen.net/content/1087
- Imechapishwa: 06/04/2019
Swali: Katika baadhi ya nchi wanapeana mikono na wanawake?
Jibu: Hili halijuzu. Hata kama mtu atakuta hali hiyo na ikawa katika mazowea yao ni kupeana mikono na wanawake. Ni wajibu kuachana na desturi hiyo.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (47) http://binothaimeen.net/content/1087
Imechapishwa: 06/04/2019
https://firqatunnajia.com/msimamo-wako-katika-nchi-ambayo-wamezowea-kupeana-mikono-na-wanawake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)