Nawaelekeza katika kitabu cha ndugu yetu Mustwafah bin al-´Adawiy (Hafidhwahu Allaah) kwa kuwa muda hautoshi kuzungumzia hilo [hukumu ya kufunua uso]. Hii ni Radd kwa Shaykh al-Albaaniy (Hafidhwahu Allaah) na kumbainishia ya kwamba ni wajibu kwa mwanamke kufunika uso wake. Hali kadhalika kitabu cha Shaykh al-Answaar, hata kama kuna upetukaji wa mipaka kwa Shaykh Albaaniy. Yasichukulie hayo, lakini faida zilizomo ndani yake zichukuliwe.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://muqbel.info/fatwa.php?fatwa_id=149
- Imechapishwa: 26/02/2018
Nawaelekeza katika kitabu cha ndugu yetu Mustwafah bin al-´Adawiy (Hafidhwahu Allaah) kwa kuwa muda hautoshi kuzungumzia hilo [hukumu ya kufunua uso]. Hii ni Radd kwa Shaykh al-Albaaniy (Hafidhwahu Allaah) na kumbainishia ya kwamba ni wajibu kwa mwanamke kufunika uso wake. Hali kadhalika kitabu cha Shaykh al-Answaar, hata kama kuna upetukaji wa mipaka kwa Shaykh Albaaniy. Yasichukulie hayo, lakini faida zilizomo ndani yake zichukuliwe.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://muqbel.info/fatwa.php?fatwa_id=149
Imechapishwa: 26/02/2018
https://firqatunnajia.com/msimamo-wa-al-waadiiy-kuhusu-mwanamke-kufunika-uso/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)