Msimamizi anashurutisha kutoongeza mke

Swali: Inajuzu kwa msimamizi wa mwanamke kumshurutishia yule anayemchumbia msichana wake asimuoe juu yake mwanamke mwingine na hilo likaandikwa kwenye mkataba wa ndoa?

Jibu: Haijuzu kwake kufanya hivo. Haifai kwake kuzuia kitu alichohalalisha Allaah (´Azza wa Jall).

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
  • Imechapishwa: 10/09/2017