Swali: Kuna mwanamke amechumbiwa mwanamume ambaye anavuta sigara na yeye ameridhia na wakati huohuo walezi wake si wenye kumridhia. Je, wamuozeshe au hapana?
Jibu: Walezi wake wanatakiwa kumzuia kuolewa na huyo aliyetajwa. Hili litawagharimu kwa sababu ni maasi ambayo wanaweza kufedheheka kwayo.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aaalish-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.ajurry.com/vb/showthread.php?t=9008
- Imechapishwa: 29/04/2018
Swali: Kuna mwanamke amechumbiwa mwanamume ambaye anavuta sigara na yeye ameridhia na wakati huohuo walezi wake si wenye kumridhia. Je, wamuozeshe au hapana?
Jibu: Walezi wake wanatakiwa kumzuia kuolewa na huyo aliyetajwa. Hili litawagharimu kwa sababu ni maasi ambayo wanaweza kufedheheka kwayo.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aaalish-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.ajurry.com/vb/showthread.php?t=9008
Imechapishwa: 29/04/2018
https://firqatunnajia.com/msichana-ameridhia-kuolewa-na-mvuta-sigara-ila-wazazi-hawataki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)