Mshirikina, al-Jifriy, ambaye anatambulikana kwa ushirikina wake wa wazi, amesema:
“Nawapa changamoto hawa ambao wanatuharamishia kumwaudu Allaah kupitia waja Wake wema. Kwa sababu Allaah ametuwekea katika Shari´ah kumwabudu kupitia viumbe visivyokuwa na uhai. Vipi basi tusimwabudu Allaah kupitia waja Wake wema?”
Kivipi, ee mshirikina al-Jifriy? Anasema kuwa Allaah ametuwekea Shari´ah ya kutufu kwenye Ka´bah. Huku si ni kufanya ´ibaadah kupitia kiumbe kisichokuwa na uhai? Allaah ametuwekea Shari´ah ya kulala Minaa, kusimama ´Arafah, kulala Muzdalifah na kurusha vijiwe kwenye kiguzo. Je, huyu kweli anafahamu nembo [za ´ibaadah]? Hafahamu nembo. Vinginevyo angeliyasema yale yaliyosemwa na ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) kuhusu jiwe jeusi:
“Mimi najua si vinginevyo wewe ni jiwe tu ambalo hudhuru na wala hunufaishi. Laiti si kumuona Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akikubusu basi nami nisingekubusu.”
- Mhusika: Shaykh Swaalih bin Sa´d as-Suhaymiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=dDamOTOimh8
- Imechapishwa: 06/09/2020
Mshirikina, al-Jifriy, ambaye anatambulikana kwa ushirikina wake wa wazi, amesema:
“Nawapa changamoto hawa ambao wanatuharamishia kumwaudu Allaah kupitia waja Wake wema. Kwa sababu Allaah ametuwekea katika Shari´ah kumwabudu kupitia viumbe visivyokuwa na uhai. Vipi basi tusimwabudu Allaah kupitia waja Wake wema?”
Kivipi, ee mshirikina al-Jifriy? Anasema kuwa Allaah ametuwekea Shari´ah ya kutufu kwenye Ka´bah. Huku si ni kufanya ´ibaadah kupitia kiumbe kisichokuwa na uhai? Allaah ametuwekea Shari´ah ya kulala Minaa, kusimama ´Arafah, kulala Muzdalifah na kurusha vijiwe kwenye kiguzo. Je, huyu kweli anafahamu nembo [za ´ibaadah]? Hafahamu nembo. Vinginevyo angeliyasema yale yaliyosemwa na ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) kuhusu jiwe jeusi:
“Mimi najua si vinginevyo wewe ni jiwe tu ambalo hudhuru na wala hunufaishi. Laiti si kumuona Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akikubusu basi nami nisingekubusu.”
Mhusika: Shaykh Swaalih bin Sa´d as-Suhaymiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=dDamOTOimh8
Imechapishwa: 06/09/2020
https://firqatunnajia.com/mshirikina-al-jifriy-hafahamu-kitu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)