Swali: Ni ipi hukumu ya kuteuliwa katika kampuni na kupata mshahara bila ya kufanya kazi kwa hoja ya usuudi[1]?
Jibu: Haijuzu. Hii ni hila na uongo juu ya nidhamu. Ni njia moja wapo ya kula mali za watu kwa batili. Mshahara bila ya kufanya kazi ni njia moja wapo ya kula mali za watu bila ya haki.
[1] Tazama https://en.wikipedia.org/wiki/Saudization
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-12-07-1435-01_0.mp3
- Imechapishwa: 19/05/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kuteuliwa katika kampuni na kupata mshahara bila ya kufanya kazi kwa hoja ya usuudi[1]?
Jibu: Haijuzu. Hii ni hila na uongo juu ya nidhamu. Ni njia moja wapo ya kula mali za watu kwa batili. Mshahara bila ya kufanya kazi ni njia moja wapo ya kula mali za watu bila ya haki.
[1] Tazama https://en.wikipedia.org/wiki/Saudization
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-12-07-1435-01_0.mp3
Imechapishwa: 19/05/2018
https://firqatunnajia.com/mshahara-bila-kufanya-kazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)