Swali: Msafiri akila wakati wa safari yake, je, ni lazima kwake kujizuia akifika katika mji wake katikati ya mchana na ni ipi dalili ya hilo?
Jibu: Bila ya shaka. Ni lazima kwake kujizuia kwa kuwa kula kumefungamanishwa na safari na safari imekwisha. Safari imekwisha. Anatakiwa kujizuia siku iliyobaki kwa kuheshimu wakati. Kwa kuwa safari imekwisha. Hukumu inakwenda na ila yake, inapokuwa na inapokosekana. Pamoja na kujizuia huku anatakiwa siku hii kuilipa kwa kuwa hakuifunga kikamilifu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (15) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-02-09.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2014
Jibu: Bila ya shaka. Ni lazima kwake kujizuia kwa kuwa kula kumefungamanishwa na safari na safari imekwisha. Safari imekwisha. Anatakiwa kujizuia siku iliyobaki kwa kuheshimu wakati. Kwa kuwa safari imekwisha. Hukumu inakwenda na ila yake, inapokuwa na inapokosekana. Pamoja na kujizuia huku anatakiwa siku hii kuilipa kwa kuwa hakuifunga kikamilifu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (15) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-02-09.mp3
Imechapishwa: 11/11/2014
http://firqatunnajia.com/msafiri-kujizuia-ramadhaan-anaporudi-katika-mji-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)