532- Nilimsikia Ahmad bin Hanbal akiulizwa juu ya mtu ambaye anaswali juu ya meli kwa kukaa. Akasema:
“Ikiwa alikuwa anaweza kuswali kwa kusimama, basi naonelea kuwa airudi swalah yake.”
533- Nilimsikia Ahmad bin Hanbal akiulizwa juu ya mtu ambaye anaswali juu ya meli ambapo akajibu kwa kusema:
“Aswali kwa kusimama iwapo anaweza kufanya hivo.”
- Mhusika: Imaam Abu Daawuud as-Sijistaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 110
- Imechapishwa: 06/07/2019
532- Nilimsikia Ahmad bin Hanbal akiulizwa juu ya mtu ambaye anaswali juu ya meli kwa kukaa. Akasema:
“Ikiwa alikuwa anaweza kuswali kwa kusimama, basi naonelea kuwa airudi swalah yake.”
533- Nilimsikia Ahmad bin Hanbal akiulizwa juu ya mtu ambaye anaswali juu ya meli ambapo akajibu kwa kusema:
“Aswali kwa kusimama iwapo anaweza kufanya hivo.”
Mhusika: Imaam Abu Daawuud as-Sijistaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 110
Imechapishwa: 06/07/2019
https://firqatunnajia.com/msafiri-anaswali-kwa-kukaa-ilihali-anaweza-kusimama/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)