Swali: Je, tufunge tukiwa katika miji ya Kiislamu ambayo inategemea mahesabu ya kinyota wakati wa mwezi mwandamo na hawategemei kuuona mwezi?
Jibu: Mko na khiyari, nyinyi ni wasafiri. Wanachuoni wengi wanaona kuwa bora kwa msafiri ni yeye kutokufunga ijapokuwa hatohisi uzito. Kujengea juu ya maoni haya kuleni na msifunge na pindi mtaporejea katika miji yenu mtatendea kazi kwa muqtadha wa kuthibiti kuingia au kuishi kwa mwezi kwa kuuona mwezi mwandamo.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: I´laam-ul-Musaafiriyn, uk. 76
- Imechapishwa: 30/05/2019
Swali: Je, tufunge tukiwa katika miji ya Kiislamu ambayo inategemea mahesabu ya kinyota wakati wa mwezi mwandamo na hawategemei kuuona mwezi?
Jibu: Mko na khiyari, nyinyi ni wasafiri. Wanachuoni wengi wanaona kuwa bora kwa msafiri ni yeye kutokufunga ijapokuwa hatohisi uzito. Kujengea juu ya maoni haya kuleni na msifunge na pindi mtaporejea katika miji yenu mtatendea kazi kwa muqtadha wa kuthibiti kuingia au kuishi kwa mwezi kwa kuuona mwezi mwandamo.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: I´laam-ul-Musaafiriyn, uk. 76
Imechapishwa: 30/05/2019
https://firqatunnajia.com/msafiri-ameenda-katika-mji-unaotegemea-mahesabu-ya-kinyota/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)