Swali: Mke ndio ana haki zaidi ya kuhudumikiwa kuliko mama au kinyume chake?
Jibu: Matumizi ni wajibu yapitike kwa mpangilio. Kwanza watakiwa kujihudumikia wewe mwenyewe. Kisha baada ya hapo mke kwa sababu amebanika kwa ajili ya mume. Baada ya hapo watoto. Halafu ndio wanakuja wazazi wawili. Kisha ndio wanakuja ndugu waliobaki. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Anza na wewe mwenyewe kisha wale ambao unawajibika kuwahudumia.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
- Imechapishwa: 06/06/2018
Swali: Mke ndio ana haki zaidi ya kuhudumikiwa kuliko mama au kinyume chake?
Jibu: Matumizi ni wajibu yapitike kwa mpangilio. Kwanza watakiwa kujihudumikia wewe mwenyewe. Kisha baada ya hapo mke kwa sababu amebanika kwa ajili ya mume. Baada ya hapo watoto. Halafu ndio wanakuja wazazi wawili. Kisha ndio wanakuja ndugu waliobaki. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Anza na wewe mwenyewe kisha wale ambao unawajibika kuwahudumia.”
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
Imechapishwa: 06/06/2018
https://firqatunnajia.com/mpangilio-katika-huduma-na-kuangaliwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)