Swali: Mke wangu anataka kusafiri kwenda mji mwingine kwa kuwa mama yake ni mgonjwa. Mimi namkataza hilo kwa kuwa anataka kusafiri peke yake. Je, inafaa kwangu kumkataza Kishari´ah?
Jibu: Ni wajibu kwako kumkataza Kishari´ah. Ni wajibu. Usimuache akasafiri peke yake. Si halali kwake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Si halali kwa mwanamke anayemwamini Allaah na Siku ya Mwisho kusafiri bila ya kuwa pmoja naye Mahram.”
Si halali kwake. Mkataze juu ya kitu ambacho sio halali. Lakini chuma thawabu kwa kusafiri pamoja naye na huku ukihesabu kupata ujira. Safiri pamoja naye hata kama utapata tabu na madhara kidogo, kuwa ni mwenye subira.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15082
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Mke wangu anataka kusafiri kwenda mji mwingine kwa kuwa mama yake ni mgonjwa. Mimi namkataza hilo kwa kuwa anataka kusafiri peke yake. Je, inafaa kwangu kumkataza Kishari´ah?
Jibu: Ni wajibu kwako kumkataza Kishari´ah. Ni wajibu. Usimuache akasafiri peke yake. Si halali kwake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Si halali kwa mwanamke anayemwamini Allaah na Siku ya Mwisho kusafiri bila ya kuwa pmoja naye Mahram.”
Si halali kwake. Mkataze juu ya kitu ambacho sio halali. Lakini chuma thawabu kwa kusafiri pamoja naye na huku ukihesabu kupata ujira. Safiri pamoja naye hata kama utapata tabu na madhara kidogo, kuwa ni mwenye subira.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15082
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/mke-wangu-anataka-kusafiri-kumuuguza-mamake-bila-mahram/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)