Swali: Ikiwa familia ya mke inaishi mbali masafa ya kufupisha swalah. Na yeye pia anabaki huko kwa muda unaoruhusiwa kufupisha swalah. Mke atamfuata mume na kufupisha swalah au atawafuata familia yake na kuswali kikamilifu?
Jibu: Atamfuata mume wake. Ikiwa mume wake ameenda naye, atamfuata mume wake. Anapoenda kwa familia yake anazingatiwa ni msafiri.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (12) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-19-10-1434_0.mp3
Swali: Ikiwa familia ya mke inaishi mbali masafa ya kufupisha swalah. Na yeye pia anabaki huko kwa muda unaoruhusiwa kufupisha swalah. Mke atamfuata mume na kufupisha swalah au atawafuata familia yake na kuswali kikamilifu?
Jibu: Atamfuata mume wake. Ikiwa mume wake ameenda naye, atamfuata mume wake. Anapoenda kwa familia yake anazingatiwa ni msafiri.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (12) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-19-10-1434_0.mp3
https://firqatunnajia.com/mke-ni-msafiri-nyumbani-kwa-familia-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)