Swali: Mke wangu ni mzito wa swalah. Humnasihi na kila siku humkumbusha na kumkemea, lakini hata hivyo wakati mwingine anakuwa mzito. Nitangamane naye vipi?
Jibu: Endelea kumlazimisha swalah. Usimchukulie wepesi. Aendelea pamoja naye na uwe ni mwenye subira. Usimfanyie wepesi hata siku moja.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
- Imechapishwa: 01/05/2018
Swali: Mke wangu ni mzito wa swalah. Humnasihi na kila siku humkumbusha na kumkemea, lakini hata hivyo wakati mwingine anakuwa mzito. Nitangamane naye vipi?
Jibu: Endelea kumlazimisha swalah. Usimchukulie wepesi. Aendelea pamoja naye na uwe ni mwenye subira. Usimfanyie wepesi hata siku moja.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
Imechapishwa: 01/05/2018
https://firqatunnajia.com/mke-mvivu-wa-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)