Swali: Mke wa kaka yangu ni mnaswara. Amelinganiwa katika Uislamu mara nyingi bila ya mafanikio yoyote. Siku miongoni mwa siku akawaambia kuwa amesilimu. Lakini hawajaona kwake kinachojulisha juu ya Uislamu wake hata swalah haswali. Wakati alipoenda kwa familia yake wakamwambia kuwa bado yuko katika dini yake [ya kinaswara]. Vipi tutaamialiane naye?
Jibu. Taamilianeni naye kuwa sio muislamu na kuwa Uislamu wake haukuthibiti. Ataamiliwe kuwa bado ni mnaswara aliyebaki katika dini yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/files/ls–jeddah-1430-8-20.mp3
- Imechapishwa: 18/09/2020
Swali: Mke wa kaka yangu ni mnaswara. Amelinganiwa katika Uislamu mara nyingi bila ya mafanikio yoyote. Siku miongoni mwa siku akawaambia kuwa amesilimu. Lakini hawajaona kwake kinachojulisha juu ya Uislamu wake hata swalah haswali. Wakati alipoenda kwa familia yake wakamwambia kuwa bado yuko katika dini yake [ya kinaswara]. Vipi tutaamialiane naye?
Jibu. Taamilianeni naye kuwa sio muislamu na kuwa Uislamu wake haukuthibiti. Ataamiliwe kuwa bado ni mnaswara aliyebaki katika dini yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/files/ls–jeddah-1430-8-20.mp3
Imechapishwa: 18/09/2020
https://firqatunnajia.com/mke-mnaswara-ambaye-anadai-kuwa-amesilimu-ila-hatendei-kazi-uislamu-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)