Swali: Kuna mama anamiliki dhahabu na imefikisha Niswaab. Je, inajuzu kuwapa Zakaah dada zake au mume wake ambaye ni mzee na hana mali zaidi ya dhahabu hii anayomiliki?
Jibu: Ndio. Inajuzu kwake kuwapa Zakaah dada zake ikiwa ni mafukara. Na mpaka wa ufukara ni kule kufikia daraja ya kuhitajia ikiwa hawana vya kuwatosheleza. Inajuzu vile vile kumpa mume wake ikiwa ni fakiri. Kama Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivyomwambia Zaynab mke wa ´Abdullaah bin Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anha). Alipomuuliza: “Je, ni Halali kwangu kumpa Swadaqah ya mali yangu?” Akasema: “Ndio.”
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=1645
- Imechapishwa: 27/02/2018
Swali: Kuna mama anamiliki dhahabu na imefikisha Niswaab. Je, inajuzu kuwapa Zakaah dada zake au mume wake ambaye ni mzee na hana mali zaidi ya dhahabu hii anayomiliki?
Jibu: Ndio. Inajuzu kwake kuwapa Zakaah dada zake ikiwa ni mafukara. Na mpaka wa ufukara ni kule kufikia daraja ya kuhitajia ikiwa hawana vya kuwatosheleza. Inajuzu vile vile kumpa mume wake ikiwa ni fakiri. Kama Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivyomwambia Zaynab mke wa ´Abdullaah bin Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anha). Alipomuuliza: “Je, ni Halali kwangu kumpa Swadaqah ya mali yangu?” Akasema: “Ndio.”
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=1645
Imechapishwa: 27/02/2018
https://firqatunnajia.com/mke-kuwapa-zakaah-dada-zake-na-mume-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)