Swali: Je, mke anaweza kupekua na kusoma makaratasi ya mume wake pasi na idhini yake?

Jibu: Haitakikani kwa mwanamke kuchukua vitu ambavyo ni maalum kwa mume wake na akavisoma. Hili halitakikani. Ni wajibu kwake kuwa na adabu. Akibainikiwa na kitu, hewala, la sivyo, hapati kufanya hivo.

  • Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alnajmi.net/voices.php?action=show&id=10
  • Imechapishwa: 20/09/2020