Swali: Inafaa kwa mke kumpa zakaah mume wake akiwa ni fakiri?
Jibu: Maoni ya sawa ni kwamba haifai kwa sababu mwanamke huyo anarudi [kwenye usimamizi] kwa mume. Wanachuoni wametofautiana juu ya jambo hili. Lakini maoni ya sawa ni haya niliyosema. Kisa cha Zaynab, ambaye alikuwa ni mke wa Ibn Mas´uud, baadhi wamekifasiri kwamba inahusu zakaah ya faradhi na wengine wamekifasiri kwamba ni zakaah iliyopendekezwa.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
- Imechapishwa: 08/06/2019
Swali: Inafaa kwa mke kumpa zakaah mume wake akiwa ni fakiri?
Jibu: Maoni ya sawa ni kwamba haifai kwa sababu mwanamke huyo anarudi [kwenye usimamizi] kwa mume. Wanachuoni wametofautiana juu ya jambo hili. Lakini maoni ya sawa ni haya niliyosema. Kisa cha Zaynab, ambaye alikuwa ni mke wa Ibn Mas´uud, baadhi wamekifasiri kwamba inahusu zakaah ya faradhi na wengine wamekifasiri kwamba ni zakaah iliyopendekezwa.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
Imechapishwa: 08/06/2019
https://firqatunnajia.com/mke-kumpa-zakaah-mume-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)