Swali: Inajuzu kwa mke kuwaonyesha uso wake shemeji zake na kukaa pamoja nao?
Jibu: Inajuzu ikiwa amekaa kando mwenyewe. Hata hivyo ni lazima kwake kujisitiri. Asiwaonyeshe kitu katika uso wala mwili wake. Kwa sababu ni ajinabi kwake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir%20ayat-03-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Inajuzu kwa mke kuwaonyesha uso wake shemeji zake na kukaa pamoja nao?
Jibu: Inajuzu ikiwa amekaa kando mwenyewe. Hata hivyo ni lazima kwake kujisitiri. Asiwaonyeshe kitu katika uso wala mwili wake. Kwa sababu ni ajinabi kwake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir%20ayat-03-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/mke-kukaa-na-shemeji-zake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)