Swali 729: Inafaa kwa mke kuchukua malipo kutoka kwa mume wake kwa sababu ya kumwandalia chakula wanachokula wote wawili?
Jibu: Ni lazima kwa mwanamke kusimamia yale ambayo yamezoeleka kidesturi za wanawake katika nchi yake kwa kufanya kazi za nyumbani kwake pasi na malipo. Kwa sababu kilichozoeleka kwenye nchi ni kama sharti. Desturi ya nchi yetu iliozoeleka ni kwamba mwanamke anasimamia mambo ya jikoni na mfano wake. Haya ni mambo ya wajibu kwake.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 283
- Imechapishwa: 08/08/2019
Swali 729: Inafaa kwa mke kuchukua malipo kutoka kwa mume wake kwa sababu ya kumwandalia chakula wanachokula wote wawili?
Jibu: Ni lazima kwa mwanamke kusimamia yale ambayo yamezoeleka kidesturi za wanawake katika nchi yake kwa kufanya kazi za nyumbani kwake pasi na malipo. Kwa sababu kilichozoeleka kwenye nchi ni kama sharti. Desturi ya nchi yetu iliozoeleka ni kwamba mwanamke anasimamia mambo ya jikoni na mfano wake. Haya ni mambo ya wajibu kwake.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 283
Imechapishwa: 08/08/2019
https://firqatunnajia.com/mke-kuchukua-malipo-kwa-kumhudumia-mume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)