Swali: Kuna mwanamke kaomba Talaka, mume wake akawa amemtaliki kinyume na nia yake. Je, Talaka imepita?
Jibu: Bila ya shaka yoyote. Ikiwa amemtaliki, Talaka imepita. Tumeshatangulia kusema, Talaka ya matamshi ya wazi haishurutishi kutazama nia. Akitamka Talaka ya matamshi ya wazi inapita. Hata ikiwa atasema kuwa: “Mimi nafanya tu mchezo au mzaha, sikukusudia na kadhalika.” Hayakubaliki hayo. Kwa kuwa haya ni matamshi ya wazi. Hakukusudia jengine zaidi ya Talaka. Hakukubaliwi kutoka kwake hoja zingine zaidi ya Talaka.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/3262
- Imechapishwa: 27/02/2018
Swali: Kuna mwanamke kaomba Talaka, mume wake akawa amemtaliki kinyume na nia yake. Je, Talaka imepita?
Jibu: Bila ya shaka yoyote. Ikiwa amemtaliki, Talaka imepita. Tumeshatangulia kusema, Talaka ya matamshi ya wazi haishurutishi kutazama nia. Akitamka Talaka ya matamshi ya wazi inapita. Hata ikiwa atasema kuwa: “Mimi nafanya tu mchezo au mzaha, sikukusudia na kadhalika.” Hayakubaliki hayo. Kwa kuwa haya ni matamshi ya wazi. Hakukusudia jengine zaidi ya Talaka. Hakukubaliwi kutoka kwake hoja zingine zaidi ya Talaka.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/3262
Imechapishwa: 27/02/2018
https://firqatunnajia.com/mke-kanilazimisha-talaka-nikampa-kinyume-na-nia-yangu-imepita/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)