Swali: Mume akimuwekea sharti mke ya kuvaa Hijaab ya Kishari´ah na matokeo yake mwanamke akawa amekataa pamoja na hivyo akamnasihi lakini akakataa na jengine ni kwamba hahifadhi swalah – ana haki ya kumtaliki?
Jibu: Ni yeye ndiye mwenye kusimamia talaka kwa hali yoyote ile. Hahitajii kushurutisha chochote. Ikiwa hatengemai amtaliki. Ikiwa haswali, ikiwa havai Hijaab basi amtaliki kwa kuwa anamuasi Allaah (´Azza wa Jall).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-12-07-1435-01_0.mp3
- Imechapishwa: 20/06/2020
Swali: Mume akimuwekea sharti mke ya kuvaa Hijaab ya Kishari´ah na matokeo yake mwanamke akawa amekataa pamoja na hivyo akamnasihi lakini akakataa na jengine ni kwamba hahifadhi swalah – ana haki ya kumtaliki?
Jibu: Ni yeye ndiye mwenye kusimamia talaka kwa hali yoyote ile. Hahitajii kushurutisha chochote. Ikiwa hatengemai amtaliki. Ikiwa haswali, ikiwa havai Hijaab basi amtaliki kwa kuwa anamuasi Allaah (´Azza wa Jall).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-12-07-1435-01_0.mp3
Imechapishwa: 20/06/2020
https://firqatunnajia.com/mke-hataki-kuvaa-hijaab/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)