Swali: Mke wangu anajisitiri bila ya kufunika uso. Nimejaribu sana…
Jibu: Vipi ni mwenye kujisitiri pasi na kufunika uso wake? Hijaab yake ni pungufu. Amefunika mwili wake lakini sio uso. Hijaaba yake ni pungufu.
Swali: Nimejaribu sana lakini hata hivyo hakufunika uso wake. Je, ni wajibu kwangu kumtaliki au niendelee kujaribu mara nyinginezo?
Jibu: Akiendelea kung´ang´ania kuonyesha uso wake mtaliki. Ama ikiwa kuna matarajio kuwa atafunika uso wake, endelea kujaribu naye. Huenda Allaah akamwongoza.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%208%20-%2011%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2017
Swali: Mke wangu anajisitiri bila ya kufunika uso. Nimejaribu sana…
Jibu: Vipi ni mwenye kujisitiri pasi na kufunika uso wake? Hijaab yake ni pungufu. Amefunika mwili wake lakini sio uso. Hijaaba yake ni pungufu.
Swali: Nimejaribu sana lakini hata hivyo hakufunika uso wake. Je, ni wajibu kwangu kumtaliki au niendelee kujaribu mara nyinginezo?
Jibu: Akiendelea kung´ang´ania kuonyesha uso wake mtaliki. Ama ikiwa kuna matarajio kuwa atafunika uso wake, endelea kujaribu naye. Huenda Allaah akamwongoza.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%208%20-%2011%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 13/02/2017
https://firqatunnajia.com/mke-hataki-kufunika-uso/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)