Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kumtaliki mume wake akishikwa na wendawazimu au akakosa kuwepo kwa muda mrefu?
Jibu: Mwanamke hana haki ya Talaka. Lakini akidhurika kwa kukosa kuwepo kwake, ataenda kwa kiongozi. Na ni wajibu wa kiongozi kukubali maombi yake ya kutengana kisha awatenganishe. Inatakikana kuwa namna hii ikiwa atadhurika, sawa kwa kukosa kuwepo mume au akiwa ni mwendawazimu.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=2730
- Imechapishwa: 27/02/2018
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kumtaliki mume wake akishikwa na wendawazimu au akakosa kuwepo kwa muda mrefu?
Jibu: Mwanamke hana haki ya Talaka. Lakini akidhurika kwa kukosa kuwepo kwake, ataenda kwa kiongozi. Na ni wajibu wa kiongozi kukubali maombi yake ya kutengana kisha awatenganishe. Inatakikana kuwa namna hii ikiwa atadhurika, sawa kwa kukosa kuwepo mume au akiwa ni mwendawazimu.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=2730
Imechapishwa: 27/02/2018
https://firqatunnajia.com/mke-hana-haki-yoyote-ya-kumpa-talaka-mwanaume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)