Swali: Walii wa mwanamke akimuwekea sharti asioe (mwanamke mwingine) juu ya binti yake, kisha akafanya. Je, ni haki kwa mke kuomba Talaka?
Jibu: Ndio, akimuwekea sharti asioe mwanamke mwingine, sharti ni sahihi kutokana na kauli sahihi ya wanachuoni. Na anaweza kuomba watengane akioa. Na akiendelea kuishi nae, Alhamdulillah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Nuur ´alaad-Darb
- Imechapishwa: 19/03/2018
Swali: Walii wa mwanamke akimuwekea sharti asioe (mwanamke mwingine) juu ya binti yake, kisha akafanya. Je, ni haki kwa mke kuomba Talaka?
Jibu: Ndio, akimuwekea sharti asioe mwanamke mwingine, sharti ni sahihi kutokana na kauli sahihi ya wanachuoni. Na anaweza kuomba watengane akioa. Na akiendelea kuishi nae, Alhamdulillah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Nuur ´alaad-Darb
Imechapishwa: 19/03/2018
https://firqatunnajia.com/mke-anaweza-kuomba-talaka-mume-wake-akiongeza-mke/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)