Swali: Mwanamke huyu amefiliwa na mume wake na anataka kukaa eda siku tatu kwa ajili kuazi nyumbani kwa kina mume pamoja na wanawake wenzie halafu ndio arudi nyumbani kwake ili akamilishe eda.
Jibu: Hapana, haijuzu kufanya hivo. Abaki nyumbani kwake tokea siku ile ya kwanza anapokufa mume. Akae nyumbani kwake mpaka pale atapokamilisha eda. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Baki nyumbani kwako mpaka kitabu kitapofikisha wakati wake.”
Taazia hii haina msingi wowote; watu wanakusanyika siku tatu ni jambo lisilokuwa na msingi wowote.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
- Imechapishwa: 02/12/2017
Swali: Mwanamke huyu amefiliwa na mume wake na anataka kukaa eda siku tatu kwa ajili kuazi nyumbani kwa kina mume pamoja na wanawake wenzie halafu ndio arudi nyumbani kwake ili akamilishe eda.
Jibu: Hapana, haijuzu kufanya hivo. Abaki nyumbani kwake tokea siku ile ya kwanza anapokufa mume. Akae nyumbani kwake mpaka pale atapokamilisha eda. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Baki nyumbani kwako mpaka kitabu kitapofikisha wakati wake.”
Taazia hii haina msingi wowote; watu wanakusanyika siku tatu ni jambo lisilokuwa na msingi wowote.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
Imechapishwa: 02/12/2017
https://firqatunnajia.com/mke-anataka-kukaa-nyumbani-kwa-kina-mume-baada-ya-kufiliwa-na-mumewe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)