Swali: Baadhi ya wanawake ikiwa mume kwa mfano amewapa pesa za matumizi basi wanamegua kidogo kidogo kutoka katika pesa hii mpaka inakusanyika na hatimaye inakuwa pesa nyingi na hivyo wananunua dhahabu pasi na idhini wala mume wake kutambua.
Jibu: Haijuzu kufanya hivo. Pesa ambayo amempa mume wake kwa ajili ya matumizi ikibaki basi ni kwa ajili ya matumizi. Haifai akanunua dhahabu na vyenginevyo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaad-ud-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/6186/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%A7%D8%AE%D8%B0-%D8%A7%D9%84%D8%B2%D9%88%D8%AC%D8%A9-%D9%85%D9%86-%D8%A7%D9%84%D9%86%D9%81%D9%82%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%AE%D8%B5%D8%B5%D8%A9-%D9%84%D9%84%D8%A8%D9%8A%D8%AA
- Imechapishwa: 04/12/2020
Swali: Baadhi ya wanawake ikiwa mume kwa mfano amewapa pesa za matumizi basi wanamegua kidogo kidogo kutoka katika pesa hii mpaka inakusanyika na hatimaye inakuwa pesa nyingi na hivyo wananunua dhahabu pasi na idhini wala mume wake kutambua.
Jibu: Haijuzu kufanya hivo. Pesa ambayo amempa mume wake kwa ajili ya matumizi ikibaki basi ni kwa ajili ya matumizi. Haifai akanunua dhahabu na vyenginevyo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaad-ud-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/6186/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%A7%D8%AE%D8%B0-%D8%A7%D9%84%D8%B2%D9%88%D8%AC%D8%A9-%D9%85%D9%86-%D8%A7%D9%84%D9%86%D9%81%D9%82%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%AE%D8%B5%D8%B5%D8%A9-%D9%84%D9%84%D8%A8%D9%8A%D8%AA
Imechapishwa: 04/12/2020
https://firqatunnajia.com/mke-anamegua-kidogokidogo-pesa-ya-matumizi-ya-nyumbani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)