585- Nilimsikia Ahmad akiulizwa kama inafaa kutoa mkate katika Zakaat-ul-Fitwr. Jibu lake lilikuwa:
“Hapana.”
Nilikuweko na nikisikiliza wakati ambapo Ahmad aliulizwa kama inafaa kutoa pesa katika Zakaat-ul-Fitr. Akajibu:
“Nakhofia kutosihi. Ni jambo linakwenda kinyume na Sunnah ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).”
- Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 123
- Imechapishwa: 05/03/2021