Swali: Msikiti ulio katika mji wetu una kaburi na hatuna msikiti mwingine usiokuwa huo. Je, inajuzu kwangu kuswali ndani yake?
Jibu: Hapana. Usiswali ndani yake. Jengeni msikiti katika mji wetu na mswali ndani yake. Hata kama hamkujaaliwa kujenga kwa mfano inaweza kuwa kiwanja cha wazi mkakiandaa na mkaswali hapo mpaka pale mtapojaaliwa kujenga msikiti usiokuwa na kaburi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-3-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2018
Swali: Msikiti ulio katika mji wetu una kaburi na hatuna msikiti mwingine usiokuwa huo. Je, inajuzu kwangu kuswali ndani yake?
Jibu: Hapana. Usiswali ndani yake. Jengeni msikiti katika mji wetu na mswali ndani yake. Hata kama hamkujaaliwa kujenga kwa mfano inaweza kuwa kiwanja cha wazi mkakiandaa na mkaswali hapo mpaka pale mtapojaaliwa kujenga msikiti usiokuwa na kaburi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-3-7-1439.mp3
Imechapishwa: 10/11/2018
https://firqatunnajia.com/mji-mzima-una-msikiti-mmoja-wenye-kaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)