Swali: Ni ipi tafsiri sahihi ya Hadiyth al-Qudsiy Swahiyh inayosema:
“Akinijia hali ya kutembea basi nitamwendea hali ya kuchepua?”
Jibu: Yanafasiriwa kwa maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Akiniomba Nitampa na akiniomba ulinzi Nitamlinda.”[1]
Maana yake ni kwamba Allaah ataharakia haja yake na humtia nguvu kwa mikono yake atayoshika kwayo na miguu yake atayotembea kwayo. Kwa msemo mwingine ni kwamba Atalinda viungo hivi kutofanya maovu. Atakuwa na pamoja Naye upamoja maalum ambao maana yake ni kutiwa nguvu, kunusuriwa na kujaaliwa.
[1] al-Bukhaariy (6502).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ma´aalim Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 46
- Imechapishwa: 09/06/2021
Swali: Ni ipi tafsiri sahihi ya Hadiyth al-Qudsiy Swahiyh inayosema:
“Akinijia hali ya kutembea basi nitamwendea hali ya kuchepua?”
Jibu: Yanafasiriwa kwa maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Akiniomba Nitampa na akiniomba ulinzi Nitamlinda.”[1]
Maana yake ni kwamba Allaah ataharakia haja yake na humtia nguvu kwa mikono yake atayoshika kwayo na miguu yake atayotembea kwayo. Kwa msemo mwingine ni kwamba Atalinda viungo hivi kutofanya maovu. Atakuwa na pamoja Naye upamoja maalum ambao maana yake ni kutiwa nguvu, kunusuriwa na kujaaliwa.
[1] al-Bukhaariy (6502).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ma´aalim Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 46
Imechapishwa: 09/06/2021
https://firqatunnajia.com/mja-kulindwa-na-allaah-kutofanya-maovu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)