Swali: Mitume wanatokamana na wanaadamu tu au miongoni mwa majini kuna Mitume pia?
Jibu: Masuala haya yana tofauti ndogo. Walichoafikiana juu yake na kukubaliana ni kwamba Mitume wanatokamana na wanaadamu. Majini yanawafuata wanaadamu na kwamba katika majini hakuna Mtume yeyote.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (62) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13740
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Mitume wanatokamana na wanaadamu tu au miongoni mwa majini kuna Mitume pia?
Jibu: Masuala haya yana tofauti ndogo. Walichoafikiana juu yake na kukubaliana ni kwamba Mitume wanatokamana na wanaadamu. Majini yanawafuata wanaadamu na kwamba katika majini hakuna Mtume yeyote.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (62) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13740
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/mitume-wote-wanatokamana-na-wanaadamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)