Swali: Je, Mitume wamelindwa kwa madhambi yote?
Jibu: Mitume wamekingwa kwa yale wanayofikisha kutoka kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa), bi maana katika kufikisha ujumbe, madhambi makubwa na kuendelea na dhambi ndogo. Mmoja wao akitumbukia kwenye dhambi ndogo anakimbilia kufanya Tawbah kwa kuwa Allaah Hakutaja kitu kutoka kwa Mtume yeyote isipokuwa ameambatanisha hilo kwa Tawbah kuwa ametubu kwa jambo hilo mwishoni. Ama kuhusu kufikisha ujumbe na madhambi makubwa wamekingwa kuanzia mwanzoni na mwishoni.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-1-30.mp3
- Imechapishwa: 09/08/2020
Swali: Je, Mitume wamelindwa kwa madhambi yote?
Jibu: Mitume wamekingwa kwa yale wanayofikisha kutoka kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa), bi maana katika kufikisha ujumbe, madhambi makubwa na kuendelea na dhambi ndogo. Mmoja wao akitumbukia kwenye dhambi ndogo anakimbilia kufanya Tawbah kwa kuwa Allaah Hakutaja kitu kutoka kwa Mtume yeyote isipokuwa ameambatanisha hilo kwa Tawbah kuwa ametubu kwa jambo hilo mwishoni. Ama kuhusu kufikisha ujumbe na madhambi makubwa wamekingwa kuanzia mwanzoni na mwishoni.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-1-30.mp3
Imechapishwa: 09/08/2020
https://firqatunnajia.com/mitume-wamekingwa-katika-wanayofikisha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)