Swali: Je, lugha ya Ibraahiym (´alayhis-Salaam) aliokuwa akizungumza ni lugha ya kiarabu?

Jibu: Sidhanii hivo. Sio lugha ya kiarabu. Wengi katika Mitume waliotangulia sio waarabu. Isipokuwa wale ambao walikuwa katika kiziwa cha kiarabu, kama mfano wa Shu´ayb, Swaalih, Nuuh na Luutw. Hawa walikuwa ni waarabu. Wengine walikuwa wanazungumza lugha isiyokuwa ya kiarabu.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (47) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-04-08.mp3
  • Imechapishwa: 16/11/2014