Swali: Baba yangu amefariki na ameacha kiwanja. Bora zaidi ni kuigawa au iuzwe na kumwacha mtu mwengine amhijie kwa pesa hizo?
Jibu: Ikiwa hakuhiji hapo kabla basi ahijiwe kabla ya mirathi kugawiwa. Ni katika haki ambazo ziko juu ya dhamiri yake na hivyo inatakiwa kutangulizwa. Mambo ni hivyo ikiwa hakuwahi kuhiji hapo kabla. Chenye kubaki baada ya hajj watagawiwa warithi. Lakini ikiwa lengo ni hajj ya Sunnah, gharama zake zisichukuliwe kutoka katika mirathi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20-%2024-10-1436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Baba yangu amefariki na ameacha kiwanja. Bora zaidi ni kuigawa au iuzwe na kumwacha mtu mwengine amhijie kwa pesa hizo?
Jibu: Ikiwa hakuhiji hapo kabla basi ahijiwe kabla ya mirathi kugawiwa. Ni katika haki ambazo ziko juu ya dhamiri yake na hivyo inatakiwa kutangulizwa. Mambo ni hivyo ikiwa hakuwahi kuhiji hapo kabla. Chenye kubaki baada ya hajj watagawiwa warithi. Lakini ikiwa lengo ni hajj ya Sunnah, gharama zake zisichukuliwe kutoka katika mirathi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20-%2024-10-1436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/mirathi-ya-baba-igawiwe-au-iuzwe-kwa-ajili-ya-hajj/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)